BBC News, Swahili - Habari

Habari Kuu

BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp

Gumzo mitandaoni

Michezo

Afya yako

Waridi wa BBC

Sikiza / Tazama

Vipindi vya Redio

  • Listen Next, Amka Na BBC, 05:59, 2 Juni 2025, Muda 29,30

    Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

  • Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 30 Mei 2025, Muda 1,00,00

    Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

  • Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 30 Mei 2025, Muda 29,30

    Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

  • Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 30 Mei 2025, Muda 29,30

    Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

  • Dira ya Dunia TV

    Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani

    Zinazovuma zaidi

    Mitandao ya Kijamii

    Uchaguzi Mkuu Tanzania 2025

    • Wagombea tiketi ya urais na makamu wa rais kupitia CCM Rais Samia Suluhu Hassan na Dkt. Emmanuel Nchimbi.

      Kipenga cha uchaguzi mkuu 2025 kimepulizwa Tanzania

      2025 ni mwaka unaotarajiwa kutawaliwa na matukio mengi ya kisiasa nchini Tanzania kutokana na uwepo wa uchaguzi mkuu wa urais wa Muungano na Zanzibar. Wabunge, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar na Madiwani katika kata zipatazo 4,000 nchi nzima.

    • g

      Je, Chadema inajijenga au inajimega?

      Kuna vita vya aina mbili ambavyo kwa sasa Chadema inapigana kwa wakati mmoja. Wao kwa wao na wao dhidi ya utawala.

    • .

      CCM yampitisha rasmi Rais Samia kuwania urais 2025

      Hii leo, baadhi ya wajumbe waliokuwa wakitoa michango yao juu ya utekelezwaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM walipendekeza mkutano huo kuwapitisha Rais Samia na Rais Mwinyi kama wagombea wa urais kutokana na maendelea walioyasimamia.